Je ulishajiuliza kua utaoa / kuolewa? Yafuatayo ni mambo 20 ya kuoa au kuolewa na kuwa na maisha ya furaha baada ya ndoa!
Ndoa zilipaswa ziwe zinafungwa Mbinguni.Lakini kwa kiwango kikubwa cha utoaji talaka, utabaki kujiuliza kama kweli hii ndoa ina manufaa au uachane nayo tu!
[Soma: Sababu kubwa 20 za talaka ambazo wanandoa wengi huzipitia!]
Kwa kufikiria kuhusu ndoa, na wazo la kuishi pammoja ni kitu kirahisi sana.
Najua unaweza ukashangaa na kujiuliza kwa nini ujifunge kwa kuwa na mtu mmoja maisha yako yote.
Kupitia ndoa, huibuka masuala ya uwajibikaji, ubishi / mabishano na changamoto nyingi zaidi za kimaisha - kama hamtakuwa makini.
Na kuna kitu fulani kuhusu ndoa kinacho fanya ndoa iwe jambo ambalo ni serious.
Ni kama vile unatakiwa