Saturday, April 1, 2017

Sababu 20 za kuoa/kuolewa na kuishi maisha ya furaha baada ya ndoa!

 Je ulishajiuliza kua utaoa / kuolewa? Yafuatayo ni mambo 20 ya kuoa au kuolewa na kuwa na maisha ya furaha baada ya ndoa!

Ndoa zilipaswa ziwe zinafungwa Mbinguni.
Lakini kwa kiwango kikubwa cha utoaji talaka, utabaki kujiuliza kama kweli hii ndoa ina manufaa au uachane nayo tu!
[Soma: Sababu kubwa 20 za talaka ambazo wanandoa wengi huzipitia!]
Kwa kufikiria kuhusu ndoa, na wazo la kuishi pammoja ni kitu kirahisi sana.
Najua unaweza ukashangaa na kujiuliza kwa nini ujifunge kwa kuwa na mtu mmoja maisha yako yote.
Kupitia ndoa, huibuka masuala ya uwajibikaji, ubishi / mabishano na changamoto nyingi zaidi za kimaisha - kama hamtakuwa makini.
Na kuna kitu fulani kuhusu ndoa kinacho fanya ndoa iwe jambo ambalo ni serious.
Ni kama vile unatakiwa

Mambo 15 ya kumfanyia mwanaume unaempenda akuwaze muda wote!

 Mara nyingi sana umekuwa ukijitahidi kumfanyia mambo mpenzi wako ili akupende zaidi lakini hayo mambo yako yameishia kupuuzwa. Usijali -Hii haitokei tena! Tumia hizi njia 15 za uhakika kumchota moyo wake.


Kuweza kumpata na kumteka mwanaume akili zake siyo kazi rahisi.  Kwa masumbuko ya sasa kimaisha na ulimwengu ulivyoendelea kiteknologia kumfanya mwanaume unayempenda akupende sana inakuwa viumu kidogo! Huwezi kujua wanatafuta nini na ni nini wanakipenda hasa.

Mwanaume ni kiumbe cha ajabu na ni rahisi sana kumchota akili zake kama unampenda, japo wana

Mwanaume na Mwanamke wanaotaka 'kutoka' wote V.s Mwanaume na Mwanamke wanaotaka kuoana!

 Wanawake huamua vipi kuwa wewe ni mwanaume anataka kutoka na wewe tu au wewe ni wa kumuoa? Hapa utajifunza tofauti ya kuwa date material na busband material

Hakuna aliye zaidi ya mwenzake - wote tulizaliwa sawa, na katika hatua fulani katika maisha , unaweza ukawa unahitaji kuwa mwanaume anayetaka u date naye, lakini baadae utahitaji kuwa mwanaume anayehitaji kuwa naye maishani.

Sasa ni nini kinachomfanya mwanaume avutie msichana mpaka aamue kutoka nae?

Wanawake wanampenda mwanaume ambaye anavutia - "simaanishi kisura". Kama mwanamke anahitaji mwanaume wa kutoka naye tu na si wa kuishi naye, anapenda kuwa na mwanaume ambaye anamfurahisha na kumvutia. Uchaguzi wake huwa popote pale ambapo ataona pana mfaa.
Waanaume ambaye wanawake hupenda waolewe nao na kushi miaka yote, ni wale wanaume wanaoweza kumfanya mwanamke ajisikie analindwa, ana amani, na mwenye material au sifa za kuwa mume!.

Kujua unachokitaka katika maisha yako

Friday, March 31, 2017

Mambo 10 Kutoka kwake yanayoashiria kuwa mpenzi wako ni husband material


Husband Material na Boyfriend Material ni watu wawili tofauti. Tambua kama mpenzi wako ni Mume au mwanaume kupitia tips hizi

Kama upo katika uhusiano, na ukaanza kuwaza kuhusu maisha yenu ya baadae, unaweza kuwa unajiuliza je "huyu ndiye sahihi?" au unajichimbia shimo lako mwenyewe ambalo hutaweza kutoka. Sasa mwanaume unayetoka naye anaweza kuwa mwanaume mzuri wa kutoka naye lakini siyo mwanaume anayeweza kukumudu katika maisha yako na kuishi naye kama mume wako.
Na bahati mbaya hakuna kitu

Thursday, March 30, 2017

Sababu 11 za kwanini hajakuomba muoane!


  Je umekuwa na boyfriend wako kwa muda mmrefu na unaanza kujiuliza kamakweli atakuomba muoane au la? Tutakusaidia kujua kikwazo ni nini - nini kinamshika!..


Kwa wanawake wengi, kuolewa ni mojawapo yao makubwa katika maisha. Huwa wanawaza pete za dhahabu vidoleni mwao, magauni ya harusi, na anawaza kuyasema yale maneno "ndiyo nakubali kuwa wako milele" mbele ya rafiki zake wote na umati mkubwa. Vilevile, wanaume wengi wazo la ndoa haliteki akili zao kama wanawake. Japo, wazo la kuoa ni la muhimu pia kwao, lakini hawaendeshwi na wazo zima la kumvisha mwanamke pete, na kwenda kujitambulisha kwa wazazi wa mwanamke na ishu nzima ya ndoa!.

Kwanini bado hajakuomba muoane?

Ishara 13 zinazoashiria anataka akuoe na anatamani kuishi na wewe!

 

Je kuna mwanaume anakuangalia sana kwa wakati mrefu ukiwa mgahawani, au darasani - au hata hotelini? Kuna mambo 13 atakayoashiria kuwa wewe ndiye mwanamke anayetaka kuishi na wewe.

Wanaume ni mojawapo ya viumbe vinavyochanganya sana duniani. Hiyo ni sana, na najua ni kweli. Wanaweza kukuonesha ishara zote na kila kitu kinaweza kikaonekana sawa, lakini wakati unataka kuenda katika hatua nyingine katika uhusiano wenu, wana

Monday, March 27, 2017

Njia 15 Za Haraka Za Kumsahau Ex - Boyfriend Wako


Kama umekua na wakati mgumu sana wa kumsahau mpenzi wako wa zamani, unaweza hitaji msaada kutoka nje. Hizi ndizo namna za kumsahau Ex- boyfriend wako.

Kuwa na uhusiano unaodumu haitokei sana kwa watu wengi - hasa katika ulimwengu wa sasa. Na inauma sana pale unapoachana na mtu ambaye awali haukuwa hata na wazo la kuwa naye lakini baadae mkawa wote na akaja kukuacha. Ni ngumu sana kumsahau - Lakini, kuna baadhi ya mambo unaweza kuyafanya na yakakufanya umsahau kabisa x-boyfriend wako - na kuachana na masononeko ya kila siku ambayo hayakusaidii.

Kwanini kuachana ni kitu kigumu sana?


Nadhani wote tunajua kuwa

Thursday, March 23, 2017

Namna ya kumfanya Boyfriend wako aku Propose(Kukuvisha Pete): Mambo 10 ya kumfanya akuvishe Pete

 

Mpo katika mapenzi mazito na yenye furaha iliyo ya juu kabisa, lakini hajawahi kukuuliza lile swali. Zifuatazo ni tips kubwa zitakazomfanya mwanaume wako aombe muoane(propose)

Wanawake wengi huiwazia sana makubwa hii siku tangu wakiwa wadogo. Gauni zuri jeupe, na refu, kutembea kwenye kapeti jekundu lenye maua ya nakshi, kumuona mwanaume wa ndoto zako anakusubiri pale mbele - inapendeza sana. Lakini unawezaje sasa kuyafanya haya mawazo yako yawe halisi na mpenzi wako aombe muoane?

Hii ina mtego sana ndani yake. kama unadhani/ unafikiri huu ni muda muafaka wa kupeleka uhusiano wako katika level nyingine na uwe katika ndoa kabisa, hicho ni kitu chema. Lakini mara nyingi,

Vitu 12 ambavyo wanaume wengi sana huvifanya kitandani ambavyo huwafanya wanawake kuigiza wameridhika!.


Je huwa unafanya mambo fulani kitandani ambayo humkatisha hamu ya mapenzi? Haya ni mambo 12 ambayo wanaume wengi huyafanya na kuwafanya wanawake wajifanye kama wameridhika badala ya kuridhika kweli(wana feki)!


Takwimu tofauti zinaonesha, na ni jambo ambalo hufaamika kwamba sio wanawake wote huwaga wanafika kileleni kila wakati wanapofanyamapenzi!

Lakini pia, wanaume wengi hupenda kuigiza na kujifanya kwamba wao ni wataalam sana wa mapenzi!

Na wanaume wa haina hii, hujisifia kwamba wao ni wazuri kiasi gani kitandani, na kwamba hakuna mwanamke yeyote ambaye alishalala nae ambaye hajamfikisha kileleni!.

Sasa, najua hii inakushangaza kidogo. Si ndiyo?

Kama kila mwanamke hugushi kuridhika kimapenzi, hawa wanaume siyo waongo?, au wanawake hawa ni wataalamu sana wa kufeki hayo mambo?!.

Kwa nini wanawake wengi huigiza katika hili?

Tuesday, March 21, 2017

Pillow talk - Maongezi nane ya kitandani ambayo yatamfanya akupende sana


Pillow Talk ni kitu gani na ni jinsi gani ya kufanya haya maongezi kuwa mazuri?

Inasemekana kwamba maongezi ya kitandani hufanya maisha ya mapenzi kuwa mazuri zaidi. Lakini Pillow Talk ni kitu gani? Fahamu kila kitu kuhusu pillow talk na jinsi ya kuifanya vizuri.

Kuna mambo mengi sana ambayo yanaweza kufanya uhusiano wa kimapenzi kuwa mzuri.

Kuna miongozo na kuna mitazamo.

Na kuna mambo mengi ya kujifunza na kumbukumbu nzuri za kukumbuka katika mapenzi.

[Soma: Miongozo 25 ya kufanikiwa katika uhusiano wa kimapenzi!]

Mawasiliano ni kitu kizuri katika katika mahusiano, lakini kuupata muda mzuri wa mawasiliano ambao utawafurahisha na kuwa mzuri kwa wote wawili huwa ni mgumu kidogo.
Na hapa ndipo Pillow Talk Inapochukua nafasi yake katika mapenzi!

Pillow Talk ni kitu gani hasa?

Pillow Talk ni aina ya

Monday, March 20, 2017

Ukarimu kwa mwanamke umekufa kwa sababu mwanaume ni mvivu


Je unadhani roho ya ukarimu / upole kwa wanawake juu ya wanaume umekufa au kupotea kabisa? Kwa jinsi wanaume wanavotenda na kuwa na matarajio makubwa siku hizi, ni dhahiri kwamba upole kwa wanawake 'unaweza' kuwa umetoweka.

Kwa baadhi ya wanaume, hii inaweza kuwa habari nzuri.

Na kwa baadhi ya wanawake hii inaweza kuwa habari kuu kuwa roho ya kwao kwao haipo tena.
Ukarimu ji jambo jema na la kufurahisha.

Huchanganya kwenye uelewa , na kama utatumiwa na wawili wapendanao, hufanya maisha yao ya mapenzi kuwa mazuri sana.

Kama mwanamke natambua ni jinsi gani wanaume wengi hujaribu kuwa wakarimu wanapokua na wanawake.

Wanaume wengi japo hawapo hivyo hujitahidi sana mbele ya macho ya mwanamke waonekane wakarimu.
Kiukweli,

Saturday, February 4, 2017

Fahamu njia ya kumchangamsha na kumfurahisha mwanamke(Vitu vi5 vya kumchangamsha mwanamke)



Kila mwanaume anapenda kujua jinsi ya kumchangamsha mwanamke ili ampende. Lakini wengi hishindwa njiani pale wanapojaribu kufanya hivyo kwa sababu hawajui vitu vitano vya kumchangamsha mwanamke. Yafahamu hayo mambo matano.

Kila mwanaume anapenda kujua jinsi ya kumchangamsha mwanamke ili ampende. Lakini wengi hishindwa njiani pale wanapojaribu kufanya hivyo kwa sababu hawajui vitu vitano vya kumchangamsha mwanamke.

Yafahamu hayo mambo matano, na namna kuyatumia.

Nadhani utakuwa ushashuhudia baadhi ya wanaume wakichati na wanawake(zao),wakati mwingi unakuta mwanamke anacheka na kumsifia kuwa anamfurahisha("hahahaha!.... unanifurahisha").
Kuambiwa na msichana kuwa unamfurahisha ni mojawapo ya

Thursday, February 2, 2017

Njia 20 zilizothibitishwa za kumshawishi mwanamke akupende bila ya kumwambia

 

Wanawake wengi huwa hawajui ni kitu gani kinachowafanya wanase kwenye mitego ya wanaume. Hawajui kuwa wanaume wengi hutumia hizi njia kuwafanya wanawake wawapende kila siku. Hizi ndizo njia za kuwanasa.

Wanaume wengi hushangaa na kujiuliza, kwanini wanawake wengi huvutiwa na wanaume wengine, lakini sio wao.

Je wanatatizo au mapungufu fulani? Ni kitu gani wanakikosa ambacho hao wengine wanacho/ wanavyo?

Usijali, katika huu mchezo wa kuwavutia wanawake, haikuhitaji uwe na fedha nyingi kwenye account ya benki, au uwe na gari zuri sana kuliko wanaume wote ndo uwavutie wanawake - kinachowavutia ni mwanaume anaye

Wednesday, February 1, 2017

Sekunde 7 za maangamizi - Mvutie msichana ndani ya sekunde 7

Sekunde 7 za Maangamizi - Namna ya kumpata mwanamke wa ndoto zako ndani ya sekunde 7


Je unataka kumpata mwanamke wa ndoto zako? Zifanye sekunde zako 7 tu kumbadilisha kifikra na kumfanya akuone wa thamani!.


Unaweza ukafikiria kitu chochote cha maisha kinachoweza kubadili maisha yako ndani ya sekunde 7? Bila shaka utakua na pressure kubwa sana ndani ya sekunde hizo saba, na wakati mwingine zinaweza kwisha bila kufanya kitu.

Vitu kama kumnunulia mwanamke maua, kumpeleka dinner, kumnunulia chocolates, na vitu vingine vya kimapenzi unazo sekunde saba tu za kumfanya mwanamke afane maamuzi ya kukupa muda wake au la!..

Hapa tutaongelea ni kwa jinsi gai mwanamke anafanya maamuzi ya haraka na ni kitu gani

Friday, January 27, 2017

Jinsi ya kuongea na mwanamke na kumuacha na hisia nzito juu yako

Wakati mwanaume anapojifunza jinsi ya kuongea na mwanamke, ni muhimu kazijua hizi tips 10 ili uweze kumuacha na hisia nzito / kali juu yako.

Kuna vitu vingi sana vya ajabu na vizuri mwanaume unaweza ukawa umevifanya huko nyuma.
Lakini kuongea na msichana unayempenda kwa mara ya kwanza?
Hii ni mojawapo ya kitu kigumu ambacho mwanaume yeyote lazima apitie.
Lakini licha ya hivyo, inatubidi tu umfate kama unampenda.
Kwa wanaume wachache sana maongezi yao ya kwanza kwa mwanamke huenda vizuri na kufanikiwa kuyamaliza vizuri.
Lakini kwa wanaume walio wengi, maongezi yao kwa mara ya kwanza huwa mabaya na wakati mwingine hukata tamaa ya kufata

Thursday, January 26, 2017

Nawezaje kuwa wa mvuto?-- How to be Hot guy

 Kama wanaume, wanawake nao hutaka mwanaume atakayempagawisha kwa mvuto. Lakini kuwa na mvuto, unatakiwa uwe umejipanga 

Mvuto katika mapenzi huwa katika macho ya mtazamaji. Kuna watu tukiwaona wanatuvutia na wengine hawakushtui kwa lolote mana kwako hawana mvuto kabisa. Japo ndiyo, kila mtu ana vigezo vyake, na hiki ndicho kinachofanya mapenzi kuwa kitu cha ajabu, kitu kidogo tu kwako kinaweza kuwa kivutio kikubwa kwa wanawake.

Hatua za kuwa na mvuto: Kanuni 20 za kufata kuwa HOT!..

Kama unataka kuwa na mvuto katika macho ya wanawake, unatakiwa uzifate hizi kanuni "kali" 20. Kumpata mwanamke wa ndoto zako, unatakiwa ufanye kitu cha ziada na uache ndoto za mchana.
#1 Vaa Rasmi. Jitahidi kuwa smart kwa kuvaa nguo za

Jinsi gani ya kuongea na msichana bila kupungukiwa Swaga

 
 

Jifunze jinsi ya kuongea na msichana bila kupungukiwa na swaga, bila ya kujali upo wapi. Unachohitaji ni hivi vitu 10 hapa kufanya maajabu na kumteka!.

Mfate alipo

Moja ya vitu ambavyo ni vigumu kwa wanaume wengi kufanya ni kumfata msichana anayemtaka kwa mara ya kwanza.

Kuchati na mwanamke ni kitu rahisi sana hatakama hamkuwahi kuonana, lakini kumfata ndipo kwenye utata.

Wakati unapohitaji kumfata msichana ambaye haukuwahi kuongea nae kabla, na ukahitaji kuanzisha maongezi, moyo huanza kwenda kasi kama ngo'ombe anayekwenda machinjoni.

[Soma: Kila kitu unachopaswa kujua ili kumfata mwanamke usiyemjua kwa ujasiri!]

Fata hizi hatua 10 kwa uda huu mfupi, na kabla haujafika huko, kujua jinsi ya kuongea na mwanamke unayemtaka itakua rahisi kama vile mtu anayetembea kwenye bustani.
Unapenda sana kuongea na wanawake wa hadhi(high status), si ndiyo?
Kama vile upendavyo, vivyo hivyo wanawake hupenda kuongea na wanaume wa

Saturday, January 21, 2017

Jinsi ya kuongea na mwanamke unayempenda * Bila ya kuwa na Woga

Kama kweli unampenda msichana, lakini unajikuta ulimi mzito au hata wakati mwingine vidole kuwa vizito wakati una chati nae. Hiyo isikutishe, hivi ndivyo unatakiwa uongee na msichana unayempenda.

Tunajua ya kwamba wasichana hupenda mawasiliano mazuri leo na kesho na siku zote, na tatizo kubwa huja katika uwezo wa kudhihirisha kujiamini kwako na kufurahisha kwako hata pale unapoonekana umeshindwa. Kwa hiyo kama unapenda kujua ni jisni gani ukawa mwanamaongezi mazuri kwa msichana unayempenda na kuwavutia wengine kwa namna unavyoonge, tips zifuatazo zitakusaidia kama utazifuata.

Jinsi gani nitaongea na mwanamke ninayemtaka bila woga?

#1 Siku zote kuwa simple na asilia(Usiwe mtu wa maigizo). Ninajua kukutana/ kuongea na mwanamke unayempenda sana kunatisha kwa kiasi chake, japo tunajifanyaga hatuogopi. Lakini

Wednesday, January 18, 2017

Mambo 15 unayoyahitaji kuwa mwanaume wa kweli


Mwanaume halisi hapimwi tu kwa maneno yake, au muonekano. Ni mtu ambaye siku zote hutazamiwa na hupewa heshima katika jamii inayomzunguka. Na ndiyo, ni mwanaume ambaye anajua ni jinsi gani ya kuishi na wanawake pia.


Kuna wanaume wengi sana ambao wao hupenda au hutamani wapendwe au waonekane wema, wengine hupenda wavutie.

Lakini kwa wanaume wachache(halisi=real mens), kuheshimiwa na kupendwa vyote huja vyenyewe bila kuitwa

Hautakiwi utende kama mwanaume konko au uige namna ya mtu fulani ya kuishi ili uwe mwanaume halisi.

Unachotakiwa kufanya ni kuwa wewe, kuza ufahamu wako na sura zote za maisha yako

Nitakuwaje mwanaume halisi(How to be a man)?

Mwanaume halisi hana ngozi nene kuliko wenzake. Uanaume halisi utengenezwa ndani ya mtu, na udhihirika tu kwa

Monday, January 16, 2017

Vitu 25 vinavyomfanya mwanaume kuwa na mvuto kwa mwanamke

Ni kitu gani mwanamke anakuta ni cha kuvutia sana kwa mwanaume?

Kama hauji basi hapa utapata kufahamu, list ya vitu 25 itakueleza kila kitu unachotaka kuju kuhusu wanawake wanapenda nini na wanachukia nini!.

Wanaume siku zote wanavutia kwa wanawake, mathalan wacheza mpira wa miguu(footballers) wakiwa na sixpack nywele wamenyoa vizuri au kuziweka kwa mitindo yao na vingine vingi. Ingawa, mara nyingi wanaume kama hao huonekana tu wazuri kwa nje, Lakini baadhi yao ndani huwa hawana kitu.
Amini usiamini mapenzi sio kitu pekee kinachomfanya mwanaume kuwa na mvuto. Lakini hata iweje,